Saturday, September 10, 2011

TAG MARANATHA MIRACLE CENTRE "Cheyo B" Tabora Mjini

Mchungaji kionngozi wa kanisa la TAG Maranatha Miracle Centre lililopo Cheyo B karibu na shule ya msingi Cheyo B (Tabora Mjini), Pastor Lutengano Mwasongela anapenda kuwakaribisha kwenye Ibada ya Miujiza inayofanyika kila jumapili kuanzia saa 3 asubuhi na kuendelea. Na kwa huduma ya maombezi na ushauri Mchungaji kiongozi na jopo lake la wachungaji anapatikana kila siku ofisini kwake kanisani hapo kuanzia saa 3 hadi saa 12 jioni. mnakaribishwa wakazi wote wa Tabora na vitongoji vyake.

1 comment:

  1. mh,mko juuu!Hii imetulia.i.e,imekaa kimataifa zaid.GLORTO GOD!

    ReplyDelete