IT WAS A DREAM TILL NOW STILL A DREAM NO MATTER HOW MANY YEARS AGO BUT ONLY I KNOW ONE DAY IT BECOME TRUE ON MY SIDE. ONLY I TRUST IN GOD. THANKS ALL OF YOU FOR VISITING MY BLOG.
Saturday, September 10, 2011
TAG MARANATHA MIRACLE CENTRE "Cheyo B" Tabora Mjini
Mchungaji kionngozi wa kanisa la TAG Maranatha Miracle Centre lililopo Cheyo B karibu na shule ya msingi Cheyo B (Tabora Mjini), Pastor Lutengano Mwasongela anapenda kuwakaribisha kwenye Ibada ya Miujiza inayofanyika kila jumapili kuanzia saa 3 asubuhi na kuendelea. Na kwa huduma ya maombezi na ushauri Mchungaji kiongozi na jopo lake la wachungaji anapatikana kila siku ofisini kwake kanisani hapo kuanzia saa 3 hadi saa 12 jioni. mnakaribishwa wakazi wote wa Tabora na vitongoji vyake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
mh,mko juuu!Hii imetulia.i.e,imekaa kimataifa zaid.GLORTO GOD!
ReplyDelete